WATAFITI MKO WAPI? Ni muda muafaka kujitokeza ili muweze kuyawekea kumbukizi maajabu yake. Zifuatilieni nyayo zake kila akanyagapo ili muweze kugundua;
1. Uwezo wake
2. Miongozo yake
3. Kanuni zake
4. Ujasiri wake,
Pengine mtaweza kugundua maono yake kwa Nchi hii na kama yakifuatwa siku moja na kuendelezwa, naamini tutakuwa na maisha ya Paradiso angali tu DUNIANI.
Ni wachache sana wa aina yake katika historia mwenye uwezo wa juu " HYPERSONIC" aliyethubutu kufanikisha NDOTO KUWA KWELI.
Tusisubiri Wazungu kuyagundua haya. Tujivunie kuwa wa kwanza kuyagundua na kuyaandikia kupitia TAFITI.
KONGOLE MAGU
Jumatano, 8 Januari 2020
WATAFITI MKO WAPI?
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni