Ijumaa, 10 Januari 2020

ALIYESHIKA NAMBA 1 KITAIFA KIDATO CHA NNE, HAJAWAHI KUONGOZA DARASANI.

ALIYESHIKA NAMBA 1 KITAIFA KIDATO CHA NNE, HAJAWAHI KUONGOZA DARASANI.

Mwanafunzi Tanzania One, matokeo ya kidato cha Nne yaliyotangazwa siku ya jana, Joan Ritte kutoka shule ya Sekondari St. Francis Girls, amesema hakuwahi kushika namba moja kwenye mitihani ya kawaida ya darasani. .
.
"Ilikuwa ni Mungu nimelelewa katika shule ambayo ina maadili ya Kikristo, walitulea kidini zaidi kutujenga kiimani kwamba tunaweza katika yeye atutiaye nguvu, sikutarajia kama nitashika namba moja ilikuwa 'surprise' kwa sababu hata REKODI yangu nikiwa shule sikuwahi kushika namba moja, na kuwapita wale waliokuwa juu yangu, nataka kuwa Civil Engineer"

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni