Ijumaa, 10 Januari 2020

Ndani ya mji wa Tunduma.

8~1~2020.
Ndani ya mji wa Tunduma.
Ktk kanisa la Mch mwakabenga lililo kata ya MAKAMBINI tulikutana viongozi wa chama cha Mapinduzi (ccm) wilaya ya Momba Pamoja na wenyeviti wa mitaa yote 71, watumishi mbali mbali wa serikali wakiongozwa wakiongozwa na Mhe mkuu wa wilaya Ndg. Jumaa Said Irando ikiwa ni utaratibu wa kawaida wa chama na serikali yake kukutana.

Pia chama cha Mapinduzi (w) Momba Tunamshukuru Baba Mch mwakabenga kwa hutubayake nzuri na ametufundisha kuto hofu ktk kufanya kazi za kuwatumikia wananchi akisema viongozi wote wametoka kwa Mungu, na Mungu ametupa upanga hivyo tutumie upanga huo kukata waovu, wavizu, wachongamishi, wasio itambua serikali tukate tuu! Nandio kazi ya upanga, ispokua upanga usiwaguse watu wema. WARUMI 13 (1-5).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni