Je Magufuli katekekeza wajibu au laahasha 😆😆😁 acha tuone
👇👇👇
-Tunataka Rais ambaye hataangalia sura (mnyika ) 2012 akiwa Morogoro
-Tunataka Rais mkali asiye cheka Cheka namtu (Msigwa) akiwa mbeya
-Tunataka Rais asiye safiri safiri kwenda nchi za nje akitumia Kodi za wtz (MBOWE) akiwa kanda ya ziwa 2013
-Tunataka rais ambaye atakwa anausanya kodi za wtz na kuzitumia vizuri (Mbowe) akiwa Tandahimba 2014
-Nchi hii unahitaji rais 👉 dicteta👈 na si vinginevyo (Lissu) akiwa Dar ES salaam😳
-Tunataka rais ambaye atairudisha Nidhamu Serikalini (LEMA) akiwa mbeya 2010
-Nchi hii inataka Rais atakaye inyoosha na wafunga Maafisadi (Heche)
-Tunataka Rais atakaye zilinda maliasili zetu (Msigwa) akiwa bungeni 2013
-Nyalandu ni fisadi akiwa ccm (Nassary) akiwa bungeni 2012 tumefuna dume alipo Hamia cdm 2017 😎😆
-Nawashangaa wanaochoma moto vibaka na kumuacha fisadi lowasa akikamua mitaani Lowasa akiwa ccm (Mbowe) 2010 lowasa ni nabii(Mbowe) lowasa alipohamia cdm 2015 😊
-CCM wamempatia fisadi Lowasa FOMU ya kugombea urais ni hatare (Lissu) Lowasa akiwa ccm Freb, 2015 Lowasa ni rais wa mioyo ya watu (Lissu) baada ya lowasa kuhamia cdm 😳😆
-Nina ushahidi wa kutosha wa kuhusiana na wizi na ufisadi wa LOWASA (MNYIKA) lowasa akiwa ccm Mwanaume aliye na ushahidi wa kutosha kuhusu ufisadi mnaomchafua mh. LOWASA ampeleke mahakamani (MNYIKA) baada ya LOWASA kuhamia cdm 😁😀
-Ni heshima kwa Mungu kumzomea na kumtukana mtu kama LOWASA kuwa ni fisadi (LEMA) LOWASA akiwa ccm
👉 sasa tuna tutaing'oa ccm madarakani wamekula nchi hii Sana wtz twende na mh Lowasa (LEMA) baada ya lowasa kuhamia cdm 😂😋
-Anae muunga mkono fisadi lowasa akapimwe akili haraka (Msigwa) March 2015 lowasa akiwa ccm
👉wtz tufike wakati tukatae unyenyasaji huu wa ccm kula na kuzigawa kodi zetu ccm siyo watu kabisa mpe mh. LOWASA Kura ayabadilishe maisha ya wtz (Msigwa) baada ya LOWASA kuhamia CDM 😳😋
Nawauliza wananchi wa Tanzania kwa kauli hizo hapo juu za vigeugeu ukiwa na akili timamu Kabisa na ubongo uliyojaa jaakabisa unaweza kupugia chadema kura ya kuliongoza Taifa la Tanzania....
Kumbukumbu
👇
-Kiongozi wa mwenye maarifa ya kuliongoza TAIFA hili atatoka ccm Baba wa TAIFA JK Nyerere 👏👏👏
-msije kuwapa warafi nchi baba wa TAIFA JK Nyerere 👏👏👏
Hivi maneno hayo wanayakumbuka naomba m-share yawafikie ili waone wtz siyo wajinga wanawachora tu 😀😁😁😁