MAMA VANESSA
SEHEMU YA 3
WHATSAPP 0655585220
ZANZIBAR
Juliana na Lucas walibaki wamesimama na kuduwaha tu wasijue nini cha kufanya kwa wakati huo.Waliangaliana na kila mmoja alionesha kuwa alikuwa akimwogopa mwenzake. Waliogopana kwa sabbau mwaznoni hawakuwa na makubaliano ya aina yoyote kuwa watalala pamoja. Lucas baada ya kuona mrembo yupo njia panda na hana njia ingine ya kuondoka hapo alimkabidhi funguo. Juliana alisita kuzipokea na kubaki amesimama akimshangaa tu. Lucas sasa iliamua kutumia njia za kiume mara baada ya kugundua kuwa msichana huyo hawezi kuondoka. Alimnyanyua juu juu na kwenda naye moja kwa moja mpaka kwenye chumba ambacho walitakiwa kuingia. Hata Juliana alishangaaa mwanaume huyo amepata wapi nguvu za kumbeba juuju. Alivyofika alifungua mlango kisha kuingia naye ndani.Alimbwaga kitandani huku akihema kwa nguvu utadhani punda aliyeutua mzigo mzito. Kweli wanaume wanakuwa na nguvu linapokuja swala la mapenzi. Unaweza kukuta mwanaume ana kilo pungufu na mwanamke lakini akambeba bila matatizo yoyote.
Juliana alijilaza hapo kitandani huku akilaala na tumbo na kuacha kijungu mbinuo kikiwa juu. Kinguo kifupi alichokuwa amevaa kilipanda kwa juu na kufanya weupe wa majapa yake yaliyojazia kama godoro la Dodoma kuonekana. Lucas alipiga magoti kisha kwa utaratibu alimvua viatu na kuvishusha chini. Juliana alijigeuza na kupandisha miguuu juu ya kitanda kabisa.
ITAENDELEA
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni