Jumapili, 10 Juni 2018

ELIMU

*_ZINGATIA_*

*_MWANAUME USIMWACHIE MKEO HELA CHUMBANI,_*

*_MWACHIE MBELE YA WATOTO  NA UMWAMBIE NA MATUMIZI YAKE, NA WATOTO WASIKIE USIJE KUISHI MAISHA YA UPWEKE UZEENI_*

👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽

*MWANAUME*
Unamwachia mkeo hela ya Chakula Chumbani, Mke Anatoka na Kapu anaenda kununua Chakula, Anapika, Anawaambia watoto, Njooni Wanangu Mle Nimewapikia Chakula Kitamu, Watoto wakishakula Wanasema Asante Mama.

*MWANAUME*
Unamwachia Mkeo hela ya Nguo za Sikukuu Chumbani,
Kesho Yake mkeo Anatoka kwenda Kununua Nguo, Akirudi Anawaambia Wanangu Nimewanunulia Nguo za Sikukuu Njooni Mjipimie, Watoto Wakishajipima, Anawaambia Wanangu  Mmependeza Eeee, Simnaona  Ninavyowapenda
Watoto wanafurahi na Kusema Asante Mama,

*MWANAUME*
Kila Aina ya Pesa ya Matumizi Unamwachia Mkeo Hela Chumbani,

*MWANANUME*
Ukifika muda wa kutoa Ada Unamkabidhi Mkeo Hela Chumbani,
Kesho yake Mkeo Anawaambia Watoto kuwa Anaenda kuwalipia Ada ya Shule, Akirudi Anawaambia Wananhu nimeshawalipia Ada, Na gari za Shule Zitakua Zinawapitia, Nataka Msome Wanangu ili Baadae Mje Mnitunze, Watoto Wanasema Asante Mama.

*KIBAYA ZAIDI*
Ukifika muda wa kutoa  Adhabu, Mkeo  yeye hatoi Adhabu, Anawaambia Watoto, Ngoja Babayenu Arudi, Nawewe Ukirudi Unaelezwa na Mkeo matatizo ya Wanao, Unachukua Bakora Unawaadhibu Watoto, Bila kujua kuwa Unazidi Kujenga Uhusiano M'BAYA na Wanao.

*NGUMU KUMEZA*
Ukifika Uzeeni, Watoto wako Hawana  *KUMBUKUMBU* Yoyote Ya Mema Uliyowafanyia.

*NA*
*UKUMBUKE KUWA-->>*
*MTOTO ANAANZA KULISHWA SUMU YA MANENO KUTOKA KWA MAMAYAKE KUANZIA UMRI WA MIAKA 9 --- 15*

*MWANAUME KUWA MAKINI SANA*

          *_ZINGATIA HAYO KWA MAISHA YA UZEENI_*

source mwalimubahati

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni