Jumamosi, 9 Juni 2018

CHEKA

Wewe na demu wako mnaenda kwa rafik ako wewe..Ambae pia anafuga mbwa, mnapofika mbwa anakubwekea wewe anamuacha demu wako, hapa tumia busara, narudia tena tumia busara.

Wa kunielewa wanielewe.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni