Alhamisi, 22 Agosti 2019

MASWALI YA SAYANSI

Mwili wa binadamu una mifupa mingapi na misuli mingapi?

Mwili wa binadamu una mifupa mingapi na misuli mingapi?

Mifupa 206
Misuli 600

Msaada
    Kuna jumla ya sayari ngapi ktk mfumo wa jua?

Nane(8)

Jumapili, 18 Agosti 2019

NYIMBO ZA UZALENDO TANZANIA

TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA

Tanzania Tanzania, nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania, jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe, niamkapo ni heri mama wee
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote.

Tanzania Tanzania , ninapokwenda safarini
Kutazama maajabu, biashara nayo makazi
Sitaweza kusahau mimi mambo mema ya kwetu kabisa
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote

Tanzania Tanzania karibu wasio kwao
Kwenye shida na taabu kukimbizwa na walowezi
Tanzania yawakaribisha tuungane kiume chema wee
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote

Tanzania Tanzania watu wako ni mema sana
Nchi nyingi zakuota nuru yako hakuna tena
Na wageni wakukimbilia ngome yako imara kweli wee
Tanzania Tanzania mola awe nawe daima

TAZAMA RAMANI
Tazama ramani utaona nchi nzuri
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,
Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzaniaaaaaaaaaa….
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere
ameukomesha X2

Chemchem ya furaha amani nipe tumaini,
Kila mara niwe kwako nikiburudika,
Nakupenda sana hata nikakusitiri,
Nitalalamika kukuacha Tanzania.
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere
ameukomesha X2

Nchi yenye azimio lenye tumaini,
Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania,
Ninakuthamini hadharani na moyoni,
Unilinde name nikulinde hata kufa.
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere
ameukomesha X2

Alhamisi, 15 Agosti 2019

UJUE UMBALI WA KWENDA KWENU

UJUE UMBALI WA KWENDA KWENU

1. DAR - ARUSHA *646* KM
2. DAR - KAHAMA *1012* KM
3. DAR - BABATI via moro *876* KM
4. DAR - BARIADI *1127* KM
5. DAR - BUKOBA via kahama *1433* KM
6. DAR - DODOMA *450* KM
7. DAR - GEITA *1226* KM
8. DAR - IRINGA *501* KM
9. DAR - KIBAHA *35* KM
10. DAR - KIGOMA via itigi *1258* KM
11. DAR - KIGOMA via kahama *1476* KM
12. DAR - LINDI *452* KM
13. DAR - MBEYA *822* KM
14. DAR - MOROGORO *194* KM
15. DAR - USANGI *575*KM
15. DAR - MOSHI *530* KM
16. DAR - MPANDA via itigi *1383* KM
17. DAR - MTWARA *556* KM
18. DAR - MUSOMA *1370* KM
19. DAR - MWANZA *1200* KM
20. DAR - NJOMBE *710* KM
21. DAR - SHINYANGA *989* KM
22. DAR - SINGINDA *725* KM
23. DAR - SONGEA via moro *949* KM
24. DAR - SONGEA via lindi *1054* KM
25. DAR - SUMBAWANGA *1166* KM
26. DAR - TABORA *829* KM
27. DAR - TANGA *350* KM
28. DAR - TUNDUMA *937* KM
29. ARUSHA - DODOMA via kondoa *425* KM
30. ARUSHA -KIGOMA *1054*KM
31. DAR - KIBITI *128* KM
32. ARUSHA - MWANZA *787* KM
32. MORO - TANGA *329* KM
33. NGARA - DAR via kahama *1310* KM

Share kwa marafiki na tujulishe umbali wa mikoa tofauti unayoifahamu hapa nchini ili tupate kutambua.

Jumatano, 14 Agosti 2019

Compilation of words which lawyers use (which makes them a class apart):

Compilation of words which lawyers use (which makes them a class apart):

1. Lawyers don't "correct" pleadings; They amend them.

2. Lawyers don't merely "think". They opine.

3. Lawyers don't "outline" remedies or issues; They adumbrate them.

4. Lawyers don't "suggest" to court; They submit.

5. Lawyers don't "lie"; They misguide the audience

6. Lawyers don't "support" with evidence; they corroborate it.

7. Lawyers don't "show" in court; They demonstrate.

8. Lawyers don't "say" anything; They aver.

9. Lawyers don't "disagree with a fact"; They contend it.

10. Lawyers don't "finish submitting"; They rest their case.

11. Lawyers don't use the word "understand"; They use "construe".

12. Lawyers don't "agree with other people's opinions" ; They concur with them.

13. Lawyers don't "investigate"; They probe.

14. Lawyers don't "disagree with other people's opinions"; They dissent from them.

15. Lawyers don't "ask for permission"; They seek leave.

16. Lawyers don't "fall sick"; They get indisposed.

17. Lawyers don't "ask court"; They pray.

18. Lawyers don't "increase" anything they "augment" it

19. Lawyers don't ask court to  "postpone cases"; They ask it to adjourn them.

20. Lawyers don't "find solutions"; They seek remedies.

21. Lawyers "know" everything; what you think they don't know is "what they have not addressed their minds to".

22. Lawyers don't "go on" ; They proceed.

23. Lawyers don't "refuse"; They object.

24. Lawyers don't "ask court to take a step"; They move it.

25. Lawyers don't "leave an issue"; They abandon it.

26. Lawyers are not "wordy"; They articulate their point.

27. Lawyers don't "find solutions"; They resolve issues.

28. Lawyers call themselves lawyers among "lay men"(all other professions and non professionals); They call themselves "Learned Friends" when they are addressing themselves.

29. Lawyers don't "disagree" with each other; They just differ.

30. Lawyers don't "seek help" from court; They seek redress.

31. Lawyers don't "speak" in court; They address court.

32. Lawyers don't "agree" to what someone has said; They associate themselves with it.

33. Lawyers don't say something is "irrelevant or useless"; They say it is immaterial.

34. Lawyers don't "arrive" in court; They enter appearance.

35. Lawyers don't "go" to a judge; They appear before him or her.

36. Lawyers don't "die" ; They relocate to God's domicile !

37. Lawyers don't get "late"; They delay.

38. Lawyers don't "disagree" with somebody's opinion; They dissociate themselves from it.

39. Lawyers don't "stand in for" anyone; They hold brief for them.

40. Lawyers don't ask court to "force";They ask it to compel.

41. Lawyers don't say something is "the same"; They say it is parimateria.

42. Lawyers don't say someone is "responsible"; They say he/she is liable.

43. Lawyers don't "explain" what they have said; They substantiate it.

44. Lawyers don't "tell lies"; They amend the facts! 

Appreciate a lawyer today!

Jumanne, 6 Agosti 2019

Some SWAHILI translations:πŸ™†πŸΎ‍♂️πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ

Some SWAHILI translations:🙆🏾‍♂️🙌🏾🙌🏾
1. Charger - kimemeshi
2. Remote - kitenzambali
3. Password - nywila
4. Akala (bladder shoes) - kirikiri
5. Passion fruit - karakara
6. Kangaroo - bukunyika
7. Fridge - jokofu
8. Juice - sharubati
9. Chips - vibanzi
10. PHD - uzamifu

11. Masters degree - uzamili
12. Degree - shahada
13. Diploma - stashahada
14. Certificate - astashahada
15. Keyboard - kicharazio
16. Scanner - mdaki
17. Flash disk - diski mweko
18. Mouse (for a computer) - kiteuzi
19. Floppy disk - diski tepetevu
20. Computer virus - mtaliga

21. Distillation - ukenekaji
22. Evaporation - mvukizo
23. Synthesis - uoanishaji
24. Oesophagus - umio
25. Greenhouse - kivungulio
26. Femur - fupaja
27. Germ cell - selizazi
28. Humus - mboji
29. Nector - mbochi/ntwe
30. Nutrients - virutubisho
31. Crystal - fuwele

32. Appetizers - vihamuzi
33. ATM - kiotomotela
34. Business card - kadikazi
35. Scratch card - kadi hela
36. Simcard - kadiwia/mkamimo
37. Memory card - kadi sakima
38. Microwave - tanuri ya miale
39. Mobile phone - rununu/rukono
40. Stapler - kibanizi

41. Laptop -kipakatalishi
42. Power saw - msumeno oto
43. Duplicating machine - kirudufu
44. Photocopier - kinukuzi
45. Cocktail party -tafrija mchapulo
46. Air conditioner - kiyoyozi
47. Calculator - kikokotozi
48. Lift - kambarau
49. Reaction - radiamali
50. Toothpick -kimbaka